• Njia
    Tigo Pesa
    Muda Wa Muamala
    Papo Hapo
    Ada Ya Muamala
    Bure
    Kiwango
    Min: TZS 100
    Hatua ya 1 – Piga *150*01#
    Hatua ya 2 – Chagua 4, “Lipa Bili”
    Hatua ya 3 – Chagua namba 3, Ingiza Namba ya Kampuni
    Hatua ya 4 – Ingiza namba ya kampuni 077077
    Hatua ya 5 – Weka namba yako ya utambulisho inayopatikana kwenye akaunti yako ya WinPrincess.co.tz kama namba ya kumbukumbu. Ukisha ingia kwenye akaunti yako, namba hiyo ya utambulisho utaikuta ikifuatana na namba yako ya simu (Ziko tarakimu 7) au unaweza kuandika namba yako ya simu uliyojisajili nayo iwe namba ya kumbukumbu ya muamala wako,iandike kwa kuanza na 0 au 255.
    Hatua ya 6 – Ingiza kiasi unachotaka kuweka
    Hatua ya 7 – Thibitisha na kisha weka namba ya siri.
    Muhimu:– Inaweza kuchukua hadi dakika kumi (10) kwa kiasi chako cha pesa kuonekana kwenye akaunti yako. Kwa msaada Zaidi kuhusu kuweka pesa, tafadhli wasiliana na kitengo chetu cha huduma kwa wateja au Livechat. Lakini pia, tunapendekeza kwa uangalifu mkubwa uweze kuandika kwa umakini namba yako ya kumbukumbu kabla ya kuweka pesa ili kuepuka makosa yoyote ya kimiamala, Winprincess haitowajibika kwa miamala yoyote iliyokoseshwa muelekeo./div>
  • Njia
    M-Pesa
    Muda Wa Muamala
    Papo Hapo
    Ada Ya Muamala
    Bure
    Kiwango
    Min: TZS 100
     
    Hatua ya 1 – Piga *150*00#
    Hatua ya 2 – Chagua 4, “Lipa kwa M-pesa”
    Hatua ya 3 – Chagua namba 4, Ingiza Namba ya Kampuni
    Hatua ya 4 – Ingiza namba ya kampuni 077077
    Hatua ya 5 – Weka namba yako ya utambulisho inayopatikana kwenye akaunti yako ya WinPrincess.co.tz kama namba ya kumbukumbu. Ukisha ingia kwenye akaunti yako, namba hiyo ya utambulisho utaikuta ikifuatana na namba yako ya simu (Ziko tarakimu 7) au unaweza kuandika namba yako ya simu uliyojisajili nayo iwe namba ya kumbukumbu ya muamala wako,iandike kwa kuanza na 0 au 255.
    Hatua ya 6 – Ingiza kiasi unachotaka kuweka
    Hatua ya 7 – Thibitisha na kisha weka namba ya siri.
    Hatua ya 8 – Bonyeza moja kuthibitisha.
    Muhimu:– Inaweza kuchukua hadi dakika kumi (10) kwa kiasi chako cha pesa kuonekana kwenye akaunti yako. Kwa msaada Zaidi kuhusu kuweka pesa, tafadhli wasiliana na kitengo chetu cha huduma kwa wateja au Livechat. Lakini pia, tunapendekeza kwa uangalifu mkubwa uweze kuandika kwa umakini namba yako ya kumbukumbu kabla ya kuweka pesa ili kuepuka makosa yoyote ya kimiamala, Winprincess haitowajibika kwa miamala yoyote iliyokoseshwa muelekeo.
  • Njia
    Airtel Money
    Muda Wa Muamala
    Papo Hapo
    Ada Ya Muamala
    Bure
    Kiwango
    Min: TZS 1.000
     
    Hatua ya 1 – Piga *150*60#
    Hatua ya 2 – Chagua 5, Lipa Bili
    Hatua ya 3- Chagua namba 4, Weka Namba ya Kampuni
    Hatua ya 4 – Andika namba ya Biashara 077077
    Hatua ya 5 – Ingiza kiasi cha pesa
    Hatua ya 6 – Weka namba yako ya utambulisho inayopatikana kwenye akaunti yako ya WinPrincess.co.tz kama namba ya kumbukumbu. Ukisha ingia kwenye akaunti yako, namba hiyo ya utambulisho utaikuta ikifuatana na namba yako ya simu (Ziko tarakimu 7) au unaweza kuandika namba yako ya simu uliyojisajili nayo iwe namba ya kumbukumbu ya muamala wako,iandike kwa kuanza na 0 au 255.
    Hatua ya 7 – Ingiza namba ya siri kulipia
    Muhimu:– Inaweza kuchukua hadi dakika kumi (10) kwa kiasi chako cha pesa kuonekana kwenye akaunti yako. Kwa msaada Zaidi kuhusu kuweka pesa, tafadhli wasiliana na kitengo chetu cha huduma kwa wateja au Livechat. Lakini pia, tunapendekeza kwa uangalifu mkubwa uweze kuandika kwa umakini namba yako ya kumbukumbu kabla ya kuweka pesa ili kuepuka makosa yoyote ya kimiamala, Winprincess haitowajibika kwa miamala yoyote iliyokoseshwa muelekeo.
  • Njia
    Halopesa
    Muda Wa Muamala
    Papo Hapo
    Ada Ya Muamala
    Bure
    Kiwango
    Min: TZS 100
     
    Hatua ya 1 – Piga *150*88#
    Hatua ya 2 – Chagua 4, Lipia Bili
    Hatua ya 3 – Chagua namba 3, Namba ya Biashara
    Hatua ya 4 – Ingiza namba ya Biashara 077077
    Hatua ya 5 – Weka namba yako ya utambulisho inayopatikana kwenye akaunti yako ya WinPrincess.co.tz kama namba ya kumbukumbu. Ukisha ingia kwenye akaunti yako, namba hiyo ya utambulisho utaikuta ikifuatana na namba yako ya simu (Ziko tarakimu 7) au unaweza kuandika namba yako ya simu uliyojisajili nayo iwe namba ya kumbukumbu ya muamala wako,iandike kwa kuanza na 0 au 255.
    Hatua ya 6 – Ingiza kiasi cha pesa
    Hatua ya 7 – Ingiza namba ya siri
    Muhimu:– Inaweza kuchukua hadi dakika kumi (10) kwa kiasi chako cha pesa kuonekana kwenye akaunti yako. Kwa msaada Zaidi kuhusu kuweka pesa, tafadhli wasiliana na kitengo chetu cha huduma kwa wateja au Livechat. Lakini pia, tunapendekeza kwa uangalifu mkubwa uweze kuandika kwa umakini namba yako ya kumbukumbu kabla ya kuweka pesa ili kuepuka makosa yoyote ya kimiamala, Winprincess haitowajibika kwa miamala yoyote iliyokoseshwa muelekeo.
  • Njia
    Selcom Huduma
    Muda Wa Muamala
    Instantly
    Ada Ya Muamala
    Bure
    Kiwango
    Min: TZS 2.000
     
    Step 1 – Tembelea wakala wa Selcom Huduma karibu yako
    Step 2 – Mpatie wakala namba yako ya akaunti ya Winprincess, namba yako ya simu na kiasi cha fedha ambacho unahitaji kuweka kwenye akaunti yako
    Step 3 – Wakala ataingiza taarifa hizo Selcom kukamilisha muamala
    Step 4 – Utapokea ujumbe wa SMS papo hapo na akaunti yako ya Winprincess itaingiziwa kiasi hicho hapo hapo
    Muhimu:– Inaweza kuchukua hadi dakika kumi (10) kwa kiasi chako cha pesa kuonekana kwenye akaunti yako. Kwa msaada Zaidi kuhusu kuweka pesa, tafadhli wasiliana na kitengo chetu cha huduma kwa wateja au Livechat. Lakini pia, tunapendekeza kwa uangalifu mkubwa uweze kuandika kwa umakini namba yako ya kumbukumbu kabla ya kuweka pesa ili kuepuka makosa yoyote ya kimiamala, Winprincess haitowajibika kwa miamala yoyote iliyokoseshwa muelekeo.
  • Njia
    Tigo Pesa
    Ada Ya Muamala
    Bure
    Kiwango
    Min: TZS 1.000 Max: TZS 2.000.000
    Kwa msaada zaidi kuhusu pesa uliyotoa, tafadhli wasiliana na kitengo chetu cha huduma kwa wateja na Livechat
  • Njia
    M-Pesa
    Ada Ya Muamala
    Bure
    Kiwango
    Min: TZS 1.000 Max: TZS 2.000.000
     
    Kwa msaada zaidi kuhusu pesa uliyotoa, tafadhli wasiliana na kitengo chetu cha huduma kwa wateja na Livechat
  • Njia
    Airtel Money
    Ada Ya Muamala
    Bure
    Kiwango
    Min: TZS 1.000 Max: TZS 2.000.000
     
    Kwa msaada zaidi kuhusu pesa uliyotoa, tafadhli wasiliana na kitengo chetu cha huduma kwa wateja na Livechat
  • Njia
    Halopesa
    Ada Ya Muamala
    Bure
    Kiwango
    Min: TZS 1.000 Max: TZS 2.000.000
     
    Kwa msaada zaidi kuhusu pesa uliyotoa, tafadhli wasiliana na kitengo chetu cha huduma kwa wateja na Livechat
  • Njia
    Selcom Huduma
    Ada Ya Muamala
    Bure
    Kiwango
    Min: TZS 1.000 Max: TZS 2.000.000
    Step 1 – Ingiza kiasi cha fedha unachotaka kutoa
    Step 2 – Utapoka ujumbe wa SMS kutoka Selcom kuthibisha kiasi cha fedha unachoweza kutoa kwa Wakala wa Selcom Huduma kutoka kwenye simu yako
    Step 3 – Ukiwa hapo kwa Wakala
    Piga *150*50#
    Chagua namba 4 – Selcom Huduma Cashout
    Ingia namba ya wakala wa Selcom ya kutolea pesa
    Ingiza kiasi cha pesa unachohitaji kutoa
    Ingia ‘1’ baada ya kuthibitisha kiasi, namba na jina la wakala
    Step 4 – Mteja na wakala watapokea ujumbe wa SMS unaothibitisha muamala, wakala atampatia mteja pesa taslimu
    Note – Should you require any assistance with your withdraw, please contact our Call Centre and LiveChat