BONASI YA KIASI ULICHOPOTEZA SPORTS

Weka bashiri ya mechi 8 au Zaidi kwenye Tiketi yako ya MultiBet au Beti nyingi na ikiwa mojawapo ya chaguo zako ikapoteza, tutarejesha hadi asilimia 100% ya dau lako.
Marejesho ya dau yatafanyika kama ifuatavyo:-

Idadi ya Chaguzi  Kiasi cha dau Unachorudishiwa
10 au zaidi 100% ya Dau
9 80% Ya Dau
8 50% Ya Dau

Tiketi pekee zitakazokidhi kupokea Bonasi hii ni zile zilizopoteza Mechi moja Tu kwenye Mkeka.
Tafadhali kumbuka,Bonasi ya kiasi ulichopoteza kitatolewa ndani ya masaa 24 baada ya mechi ya mwisho katika mkeka kukamilika.

VIGEZO NA MASHARTI:
  1. Weka machaguo 8 au Zaidi kwa mchezo au soko lolote
  2. Weka TZS 1,000 Kwa mechi kuanzia mechi 8 na Zaidi zenye jumla ya Odds kuanzia 3 au Zaidi.
  3. Pesa ya Bonasi itaweza kutumika ndani ya siku 14 Pekee na itatolewa ndani ya masaa 24 baada ya Bashiri iliokidhi kukamilika.
  4. Ubashiri utakaofanyika kwa pesa ya bonasi haukidhi kupokea Bonasi hii
  5. Bashiri zilizokidhi ni lazima ziwe na mjumuisho wa machaguo yasiyopungua 8 na lazima yawe yamekwisha ndani ya siku 14 tangu ubashiri ulipofanyika.
  6. Utakidhi kupokea Bonasi iwapo mechi moja tu itapoteza kwenye mkeka wako.
  7. Pesa ya bonasi itawekwa kwenye akaunti yako ndani ya masaa 24 baada ya bashiri iliyokidhi kuishi.
  8. Bonasi inaweza tumika kwenye Odds za Mechi ambazo hazijaanza na zile zilizo Live/Mubashara
  9. Kiasi cha bonasi utakachopewa kitapaswa kuchezwa takribani mara mbili (x2) kwenye beti timilifu za kupangiliwa au za mchanganyiko (combo). Idadi ya chini ya jumla ya michezo kwenye mkeka mmoja wa bashiri za mpangilio au za mchanganyiko (combo) ni angalau michezo matatu (3) yenye jumla Ya Odds kuanzia 3 au Zaidi.
  10. Endapo hautabashiri ndani ya siku 14 tangu bonasi kuwekwa itasababisha kufutwa kwa bonasi na ushindi wowote unaohusiana.
  11. Ushindi wote utakaotokana na bonasi utabaki kama pesa ya bonasi na hutoweza kutoa kiasi chochote ulichoshinda hadi ubashiri utakapokidhi vigezo.
  12. Bonasi hii haiwezi kutumiwa kwa kushirikiana na promosheni zingine,bonasi au ofa maalum.
  13. Ofa ya wateja wote ni kwa ukomo wa mtu mmoja haitahusisha  familia, kaya, barua pepe, namba ya simu, anuani ya ip, nambari sawa ya akaunti ya malipo na kushea komputa mfano, maktaba au sehemu ya kazi. Kampuni inayohaki ya kutoa kilichopo kwa ofa yoyote au ofa zote kwa kila mteja au kikundi cha wateja kwa wakati wowote kwa kufuata sheria na taratibu zetu.
  14. Winprincess inayohaki ya kubadili vigezo na masharti ya ofa hii  wakati wowote na  jukumu la mteja ni kuangalia mabadiliko pindi ambapo yatafanyika.
  15. Winprincess inayohaki ya kumtoa mteja yoyote kwenye hii promosheni, kama ushahidi wa udanganyifu utapatikana. Katika tukio la mgogoro wowote, uamuzi wa mwisho utazingatiwa kikamilifu na usimamizi wa kampuni.